Skip to main content

Posts

Showing posts from November, 2015

Tufaham pamoja

Show ya Wiz Kid live in Dar yafana jijini Dar es Salaam..(Picha) Edwin TZA   at   TZA_MillardAyo  -  2 hours ago Ni October 31, 2015 ambapo mkali kutokea Nigeria Wiz Kid alishea jukwaa moja na Fareed Kubanda aka Fid Q, Diamond Platnumz na Christian Bella kwenye show iliyopewa jina la Wiz Kid live in Dar iliyofanyika katika viwanja vya Leaders Club. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya […] The post Show ya Wiz Kid live in Dar yafana jijini Dar es Salaam..(Picha) appeared first on TZA_MillardAyo. Magazeti ya Tanzania leo Novemba 1, 2015 yameamka na hizi kwenye Michezo na hardnews Edwin TZA   at   TZA_MillardAyo  -  3 hours ago Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumapili Novemba 1, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Michezo na Hardnews, zote ziko hapa Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa...