27.4.19

Serikali Yaajiri walimu Wapya 4,549 ,Majina na shule zao Hapa

SWAHILI VERSION
                                                                                               
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ''TAMISEMI''  ameutangazia umma  jumla ya walimu 4,549 waliochaguliwa  wamepangiwa kufundisha katika shule za msingi na Sekondari.

Kwa mujibu wa Waziri Huyo Seleman Jafo ni kwamba TAMISEMI ilipata kibali cha kuajiri jumla ya walimu 4, 549 na kibali hicho kilikuwa kwa ajili ya walimu was shule hizo na hasa katika maeneo yaliyo na upungufu.

Akizungumza leo Aprili 27,2019 jijini Dar es Salaam  Seleman Jafo amesema jumla ya waombaji 91,108 waliotuma maombi ya nafasi mbalimbali zilizotangazwa na kati yao maombi 43,770 sawa na  48.04% ya waombaji wote walikuwa na viambatanitisho  vyote vilivyohitajika. Ameongeza na jumla ya waombaji 47,338 sawa na  51.96% maombi yao hayakuwa na vigezo ikiwa ni pamoja na kukosa viambatisho muhimu vilivyohitajika.

E-money exchanger rating
"Kutokana na mahitaji makubwa ya walimu katika shule za msingi na walimu wa shule za msingi wa masomo ya sayansi(Fizikia,Kemia na Bailojia) na hisabati .Ofisi ya TAMISEMI imefanya uchambuzi na kutoa kipaumbele katika ajira ya walimu wa kada za walimu daraja la tatu A(cheti)kwa ajili ya kufundisha shule za msingi.

Walimu daraja la tatu B (Stashahada)
 wa masomo ya sayansi kwa ajili ya kufundisha shule za sekondari kidato cha kwanza hadi kidato cha nne.Walimu daraja la tatu C wa masomo ya sayansi kwa ajili ya kufundisha katika shule za sekondari za kidato cha tano na sita.

Na walimu daraja la tatu C (Shahada)  
wa masomo ya elimu maalum ,biashara ,uchumi,kilimo na maarifa ya nyumbani kwa ajili ya kufundisha shule za sekondari. Mchakato wa kupitia maombi ulijumuisha uhakiki wa uhalali wa vyeti vy elimu na taaluma vya waombaji na ukamilifu wa nyaraka zilizohitajika," amesema Jafo.

Amefafanua anatumia nafasi hiyo kuwataarifu waombaji wote wa masomo ya Sana'a ,sayansi na masomo mengine ambao walitimiza vigezo na hawakufanikiwa kupata nafasi katika kipindi hiki kuwa maombi yao yote yamechambuliwa na yamehifadhiwa kwenye kanzidata yao na kuwa fursa za ajira zitakapojitokeza utaratibu wa ajira utatolewa.

Kuhusu walimu waliopata ajira ambao ni hao 4,549 wamepangiwa moja kwa moja na kati ya hao jumla ya walimu 3,059 sawa na asilimia 67.25 wamepangiwa kufundisha shule za msingi na walimu 1,490 sawa na asilimia 32.75 wamepangwa kufundisha shule za sekondari.

"Walimu wote waliopata ajira wanatakiwa kuripoti kwa wakurugenzi wa halmashauri zilipo shule walizopangwa kwa ajili ya uhakiki wa vyeti halisi vya elimu na taaluma,kujaza mikata ya ajira na taratibu nyingine za kiutumishi na kisha kuripoti katika shule walizopangiwa.

" Walimu wote waliopata ajira wanatakiwa kuripoti katika vituo vyao vya Nazi kuanzia Mei 7,2019 hadi Mei 21,2019 .Walimu wapya ambao hawataripoti katika vituo vyao vya kazi ifikapo Mei 21,2019 nafasi zao zitajazwa mara moja bila kuwataarifu kwa kuwapanga walimu wenye sifa ambao hawakupangwa katika awamu hii.

"Aidha Wakurugenzi wa halmashauri wasibadilishe vituo vya kazi  vya walimu hao bila kibali maalum cha Katibu Mkuu TAMISEMI .Mwajiriwa atakayeripoti na kuchukua posho ya kujikimu kisha akaondoka katika kituo chake cha kazi alichopangiwa atachukuliwa hatua kali za kisheria," amesema Jafo.

Pia amewomba wakurugenzi wote wa halmashauri zilizopangiwa walimu wa ajira mpya kuwapokea walimu hao na kukamilisha taratibu za ajira kwa kuzingatia sheria ,kanuni ,taratibu na miongozo inayosimamia utumishi wa umma  

  WALIMU WALIOCHAGULIWA NA KUPANGIWA SHULE ZA MSINGI

  
 2     WALIMU WALIOCHAGULIWA NAKUPANGIWA SHULE ZA SEKONDARI                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                         

22.4.19

Binance 2019


I’ve been thinking, reading and posting a lot about  tokens & Coins. I have a few new thoughts, which it is not being brought up .
The number one factor driving any token/coin is number of people using it That increase its Market Demand 
To day I want to concentrate on BINANCE COIN as I point to be the Token of The year 2019.It  being experienced  changes on its faster price volatility from the End of 2018 And Account to better Approach from its stuck price of $6 And faster pump up to around 20$.
There Is A lot of reasons of this changes BUT  it Obviously is the COIN Accepted and supported by it Exchange users which give it high trend on the Market

BINANCE EXCHANGE 
This is one among the great Crypto Exchange world wide having over Billions Crypto users and investors nearly all people involved in cryptocurrencies, Heard About Binance As an Exchange which is the another Reason of it Token to climb over clouds.  

BINANCE COIN 
Is the crypto coin issued by Binance Exchange symbolized with (BNB) Used as a fee in different Binance Exchange operations ,trading fee,exchange fees,listing fees and other different activities which also give its demand to increase day by day.At a time writing the post crypto are in increasing price and tremendous situation on the market. While Binance Exchange already launched its Double referral program to enhance the use of the platform which also lead people to be attracted by its operation.
It Believed BINANCE COIN (BNB) will hit milestone nearly time to come as people increases, the more people increase and feel safe to use it platform exchange the more people become comfortable to use in  another further issues,Also Binance Exchange due to its trends many Site have Adopt it has means of payments and get into other famous crypto exchange such as Bestchange platform

12.4.19

AIR TANZANIA VACANCY ANNOUNCEMENT




VACANCY ANNOUNCEMENT

          
1.1       POSITION: PROCUREMENT AND SUPPLIES OFFICER  GRADE I (2 POST)   

a)              Entry Qualifications:

    The following are qualifications for aspired candidates:-
·        Bachelor Degree in Procurement and Supplies Management, Materials Management, Logistics Management or equivalent qualifications from recognized institutions
·        Must have a Procurement and Supplies Professional (CPSP) ) Certificate or its equivalent
·        Computer literate
·        Must have at least three (3) years working experience of two years in a similar field.
·         Candidates with relevant airline experience will be given preference.
·         Candidates Must have a valid Practicing License issued by  PSPTB

b)            Responsibilities:

·               To ensure contracts are implemented as per their terms and conditions.
·               To develop appropriate systems, procedures and guidelines for the   procurement function.
·               To advise on best procurement strategies in collaboration with user department.
·               To evaluate vendor performance and advice accordingly.
·               To maintain an up-to-date filing system on pricing and vendors to ensure immediate and accurate access to information.
·               To prepare bid documents and Tender advertisements.
·               To coordinate preparation of technical specifications, statement of requirements and terms of reference.
·               To post Annual Procurement Plan information to the Public Procurement Regulatory Authority Database.
·               To perform any other duties as assigned from time to time by Supervisor.

1.2      POSITION:ASSISTANT PROCUREMENT AND SUPPLIES OFFICER(4 POSTS)
           
a)       Entry Qualifications:
The following are qualifications for aspired candidates:-
·            Must have a Diploma in Procurement and Logistics/Materials management or its equivalent from recognised institution.
·            Must have at lleast three (3) years working experience
·            will be an added advantage
·            Computer Literate.

b)         Responsibilities:

·               To maintain a location index system in the store
·               To analyse user department consumption patterns and predicting future trends
·               To manager an archive records of receipt and issuance of goods and services
·               To maintain an updated inventory of goods, supplies and materials
·               To manager plans for stock levels
·               To maintain records for each local purchase order.
·               Perform any other duty may be assigned by the supervisor.
·               Must be registered with PSPTB


1.3      POSITION: ACCOUNTANT  GRADE 1 (2 POSTS)     

a)    Entry Qualifications:
The following are qualifications for aspired candidates:-
·               Must have Bachelor  Degree in Accounting , Finance,  Banking or its equivalent from reorganized academic  institutions
·               Must have Professional qualifications (CPA,  ACCA or equivalent)
·               Must have at least 2 years working experience in a competitive business environment
·               Must be Computer literate
·               Knowledge in accounting information system, experience in inventory accounting and relevant airline experience will be an added advantage
b)         Responsibilities
·         Record  inventories ( spare parts ) in accounting system
·         Reclassify inventories to match with company chart of accounts
·         Reconcile accounting records against store physical inventories
·         Reconcile accounting records against procurement records
·         Undergo monthly inventories stock taking, reconciliation and valuation
·         Advise Finance manager on provision of obsolete stocks and pass appropriate adjustments
·         Analyze  business  risks associated in inventory management and proposed remedial actions to financial manager
·         Support internal and external auditing on inventory  accounting
·         Comply with financial regulations and accounting standard in reporting, classifying, and disclosure of inventory accounting
·         Perform any other duty may be assigned by the supervisor.

5.4.19

How To Add Copyright Symbol on Your Footer : BlogSpot

How To Add Copyright Symbol on your Footer: BlogSpot


To add Copyright symbol on Footer
  • Open your blogspost
  • Go to Layout go to footer choose one if there are two or more footer widget space then Edit HTML and Add the following CODES                                                                                                        <div id='footer-wrapper'> <b:section class='footer' id='footer'/> <p> <center> Content Copyright&#169;2019 by SUMBI ONLINE BUSINESS. All rights reserved.</center> </p></div>
Replace words SUMBI ONLINE BUSINESS With your Blog Title and currently year then save  and save arrangement rigthside of your blogspot layout page Done                                                                                                                                                                                 So final after you view your blog should look like this:Content Copyright© 2019 by SUMBI ONLINE BUSINESS. All rights reserved

Hope you found this Successful...

Happy Blogging,SUMBI ONLINE BUSINESS

CT + LOTIONS

CT + is a  CLEAR THERAPY True clarifying therapy, CT + reveals a luminous complexion and flawless in daily use. CT + combines the action of ...

HOT POSTS