Skip to main content

Posts

Showing posts from October, 2018

Binance Referral Program

   Visit :   www.binance.com                                                                                                                             Its Pays To Have Friends Currently it is the Referral program initiated by Binance famous  World Crypto exchange which enabling you to get Bonus or commissions over trades of your Referred people You have to Your Binance Account. In line with that Duplication of Account Under one Personal control is Discouraged to Ensure Fairly Treat Of people commision ,everyone get what she or He deserve regarding his or her effort to refer active trader into the Binance Number of crypto Exchange Inc...

MO DEWJI AMEPATIKANA

Swahili version Mfanyabiashara na Tajiri Namba Moja Tanzania Mo Dewji Amepatikana Maeneo ya Gymkhana Tayari jeshi la police limeweka utepe eneo la tukio lilipotelekezwa Gari lililotumika kumtelekeza Mo, Familia Tayari Imetoa taarifa juu ya kupatikana kwake,Jeshi la police kuongea na Wananchi kupitia vyombo vya Habari.  Baada ya Uchunguzi mfupi unaofanyika Gymkhana silaha mbali mbali zimekutwa kwenye Gari Hilo.Ata hivyo kamanda Lazaro Mambo sasa  amesema watu waliomteka walikuwa wanataka fedha. Akiongea leo nyumbani kwa baba yake Mo ambako alifika kumuona mfanyabiashara huyo, amesema amemweleza kuwa moja ya sababu ya kutekwa kwake ni fedha ambapo watekaji walikuwa wanataka wapewe fedha. ”Mo ameniambia tangu alipotekwa alikuwa amefungwa mikono, miguu na kufunikwa macho, lakini pia walimsimamia sana kwenye suala la kula lakini sababu kubwa watekaji walikuwa wanataka fedha ila walikuwa na hofu ya kumpigia baba yake wakiamini jeshi la polisi litawafikia”, amesema Mambosasa ...

FACEBOOK SECURITY

Hello Friends I did receive Security Update from Facebook for an attack incident on my Account it seems many facebook accounts have been attacked its better to stay Caution with our facebook Accounts.                                                        An important update about Facebook's recent security incident share We   previously announced   a security incident on Facebook and want to provide an update on our investigation. We have now determined that attackers used access tokens to gain unauthorized access to account information from approximately 30 million Facebook accounts. We're very sorry this happened. Your privacy is incredibly important to us, and we want to update you on what we've learned from our ongoing investigation, including which Facebook accounts are impacted, what information was accessed and wha...

BILIONI 1 KUTOLEWA KWA TAARIFA ZA MODEWJI NA FAMILIA YAKE

Swahili version   Hivi sasa Familia inazungumza na wanahabari kutoa maneno ya  familia kwa wanajamii wa Tanzania Na Dunia kwa Ujumla ikumbikwe kuwa  Mfanyabiashara Maarufu na Bilionea mdogo Afrika Mohammed Dewji (MO) Bado  kupatikana  taaifa zikiwa zimethibitishwa na mkuu wa MKoa mheshimiwa Paul Makonda Jiji Dar es salam Tanzania  Taarifa za zaidi zitaendelea kutolewa kadri zitakapofikia  kwenye meza za  blog Mungu NI Mwema , Maombi ya Mashehe wa Dar es salam na Tanzania Pamoja na Maaskofu   na nguvu za police zinaendelea  kuongezwa  kuakikisha MO Dewji Anapatikana  SASA familia kuzungumza na Jamii

Mohammed Dewji kidnapped

The Tanzanian famous and youngest Billionaire and  Businessman had been kidnapped Today known as Mo Dewji, kidnap took place during his normal exercises routine by two unknown kidnaper, they were shoot on Air when commit kidnap practices. All police force have spread all the places in and out Dar es Salaam Tanzania with no Air, land or water transport to take out of Tanzania with heaviest search. Mohammed Dewji was born in Singida, a rural town in central Tanzania on May 8, 1975, where his grandmother and subsequently his father, operated a small trading house.  After pursuing his higher education in the United States, he returned to Tanzania in 1998 to join his family’s trade and transport group.  Although Mohammed began as the CFO, within a few years he had proven that he was the perfect candidate to head the group.  Once in the CEO’s seat, he has taken Mohammed Enterprises Tanzania Limited to unimaginable heights.  Mohammed is single-handedly re...