Skip to main content

BILIONI 1 KUTOLEWA KWA TAARIFA ZA MODEWJI NA FAMILIA YAKE

Swahili version  

Hivi sasa Familia inazungumza na wanahabari kutoa maneno ya  familia kwa wanajamii wa Tanzania Na Dunia kwa Ujumla ikumbikwe kuwa  Mfanyabiashara Maarufu na Bilionea mdogo Afrika Mohammed Dewji (MO) Bado  kupatikana  taaifa zikiwa zimethibitishwa na mkuu wa MKoa mheshimiwa Paul Makonda Jiji Dar es salam Tanzania  Taarifa za zaidi zitaendelea kutolewa kadri zitakapofikia  kwenye meza za  blog Mungu NI Mwema , Maombi ya Mashehe wa Dar es salam na Tanzania Pamoja na Maaskofu   na nguvu za police zinaendelea  kuongezwa  kuakikisha MO Dewji Anapatikana 


SASA familia kuzungumza na Jamii

Comments

Popular posts from this blog

FINANCIAL FREEDOM WITH DIGITAL CURRENCIES

FINANCIAL FREEDOM WITH DIGITAL CURRENCIES   Pay attention to the financial systems that try to give freedom in making transactions in everyday life, many businesses have been opened to enable someone or people to earn a daily income. Free markets from local markets to the internet have also increased to empower and empower people to achieve their goals, at the same time companies have been using that opportunity to make profit from daily transactions, this is definitely a revolution of satisfaction for people. All these steps have been attacked by various emotions, the emotions of young people have grown, and I have prioritized them in moving forward these non-Isha raids. Let's see this which is not many years old and has survived and is going to save the youth In recent years, new systems have emerged which were not widely understood in our Communities, few of them have been using those systems, known as digital investment, to invest in DIGITAL CURRENCIES.  DIGITAL CURRENCIES...

UDHIBITI WA CHANGAMOTO ZA MADENI

Kudhibiti madeni yaliyozidi uwezo wako wa kulipa ni jambo linalohitaji mpango mzuri na nidhamu ya kifedha. Hapa kuna hatua unazoweza kuchukua ili kuanza kurekebisha hali yako: 1. Tafuta Chanzo cha Tatizo Je, ni matumizi mabaya ya pesa? Je, ni kupungua kwa kipato? Je, ni dharura ambazo hazikupangwa? Ukigundua chanzo, utaweza kuepuka kurudia kosa hilo. 2. Fanya Tathmini ya Madeni Yako Andika orodha ya madeni yako yote (benki, watu binafsi, mikopo ya biashara n.k.). Weka kipaumbele kulingana na riba kubwa na madeni yanayoweza kuleta athari mbaya haraka (kama kukatwa mali). 3. Wasiliana na Wadai Badala ya kukwepa, zungumza nao kuhusu hali yako halisi. Omba mpango wa malipo wa muda mrefu au punguzo la riba ikiwa linawezekana. 4. Tengeneza Bajeti na Uifate Punguza matumizi yasiyo ya lazima. Elekeza pesa kwenye madeni badala ya matumizi ya anasa. Tumia kanuni ya  50/30/20  (50% mahitaji, 30% starehe, 20% madeni na akiba). 5. Tafuta Njia za Kuongeza Kipato Tafuta kazi za ziada kama fr...

Moussa Balla Conte

Moussa Balla Conte ajiunga na Yanga SC!  ðŸŸ¡⚫️ Leo, Moussa Balla Conte ametambulishwa rasmi kuwa mchezaji mpya wa Klabu ya Yanga SC, akitokea CS Sfaxien ya Tunisia, baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu. Hii ni baada ya sintofahamu kubwa kuhusu usajili wake, huku habari zikimhusisha na Simba SC. Lakini, Yanga SC imefanikiwa kumchukua Conte, na sasa huduma zake ni mali ya Wananchi kuelekea msimu mpya. Kwa usajili huu, unawapa Wananchi asilimia ngapi ya mafanikio ya usajili? 👉 Je, Conte ni mchezaji ambaye ataongeza nguvu kwenye safu ya kiungo wa Yanga SC? #YangaSC #MoussaBallaConte #Wananchi #Usajili #Soka #Tanzania #Mchezo