Skip to main content

MO DEWJI AMEPATIKANA

Swahili version
Mfanyabiashara na Tajiri Namba Moja Tanzania Mo Dewji Amepatikana Maeneo ya Gymkhana Tayari jeshi la police limeweka utepe eneo la tukio lilipotelekezwa Gari lililotumika kumtelekeza Mo, Familia Tayari Imetoa taarifa juu ya kupatikana kwake,Jeshi la police kuongea na Wananchi kupitia vyombo vya Habari.  Baada ya Uchunguzi mfupi unaofanyika Gymkhana silaha mbali mbali zimekutwa kwenye Gari Hilo.Ata hivyo kamanda Lazaro Mambo sasa amesema watu waliomteka walikuwa wanataka fedha.Akiongea leo nyumbani kwa baba yake Mo ambako alifika kumuona mfanyabiashara huyo, amesema amemweleza kuwa moja ya sababu ya kutekwa kwake ni fedha ambapo watekaji walikuwa wanataka wapewe fedha.
”Mo ameniambia tangu alipotekwa alikuwa amefungwa mikono, miguu na kufunikwa macho, lakini pia walimsimamia sana kwenye suala la kula lakini sababu kubwa watekaji walikuwa wanataka fedha ila walikuwa na hofu ya kumpigia baba yake wakiamini jeshi la polisi litawafikia”, amesema Mambosasa
Pia Mambo sasa ameongea kuwa baada ya taarifa za jana kutoka kwa IGP Sirro kubaini gari lililotumika kumteka, zimesaidia kumpata mfanyabiashara huyo kwani wahusika waligundua wamekaribia kunaswa.
Kamanda Mambosasa pia amethibitisha kuwa gari lenye namba za usajili T 314 AXX, ambalo walilibaini kutumika kumteka Mo, likiwa na namba za nchi jirani AGX 404 MC, ndio hilo limetumika kumtelekeza katika eneo la Gymkhana jijini Dar es salaam.
Amemaliza kwa kusema baada ya kutupwa pale Gymkhana, walinzi wa eneo hilo walimuona na kumtambua kama ni Mo, ndipo wakamfungua kamba alizokuwa amefungwa kisha akawatajia namba za simu za baba yake na walipompigia mzee Dewji akafika na familia kumchukua Source: http://dar24.com/hii-ndio-sababu-ya-mo-dewji-kutekwa/ 

Comments

Popular posts from this blog

FINANCIAL FREEDOM WITH DIGITAL CURRENCIES

FINANCIAL FREEDOM WITH DIGITAL CURRENCIES   Pay attention to the financial systems that try to give freedom in making transactions in everyday life, many businesses have been opened to enable someone or people to earn a daily income. Free markets from local markets to the internet have also increased to empower and empower people to achieve their goals, at the same time companies have been using that opportunity to make profit from daily transactions, this is definitely a revolution of satisfaction for people. All these steps have been attacked by various emotions, the emotions of young people have grown, and I have prioritized them in moving forward these non-Isha raids. Let's see this which is not many years old and has survived and is going to save the youth In recent years, new systems have emerged which were not widely understood in our Communities, few of them have been using those systems, known as digital investment, to invest in DIGITAL CURRENCIES.  DIGITAL CURRENCIES...

UDHIBITI WA CHANGAMOTO ZA MADENI

Kudhibiti madeni yaliyozidi uwezo wako wa kulipa ni jambo linalohitaji mpango mzuri na nidhamu ya kifedha. Hapa kuna hatua unazoweza kuchukua ili kuanza kurekebisha hali yako: 1. Tafuta Chanzo cha Tatizo Je, ni matumizi mabaya ya pesa? Je, ni kupungua kwa kipato? Je, ni dharura ambazo hazikupangwa? Ukigundua chanzo, utaweza kuepuka kurudia kosa hilo. 2. Fanya Tathmini ya Madeni Yako Andika orodha ya madeni yako yote (benki, watu binafsi, mikopo ya biashara n.k.). Weka kipaumbele kulingana na riba kubwa na madeni yanayoweza kuleta athari mbaya haraka (kama kukatwa mali). 3. Wasiliana na Wadai Badala ya kukwepa, zungumza nao kuhusu hali yako halisi. Omba mpango wa malipo wa muda mrefu au punguzo la riba ikiwa linawezekana. 4. Tengeneza Bajeti na Uifate Punguza matumizi yasiyo ya lazima. Elekeza pesa kwenye madeni badala ya matumizi ya anasa. Tumia kanuni ya  50/30/20  (50% mahitaji, 30% starehe, 20% madeni na akiba). 5. Tafuta Njia za Kuongeza Kipato Tafuta kazi za ziada kama fr...

Moussa Balla Conte

Moussa Balla Conte ajiunga na Yanga SC!  ðŸŸ¡⚫️ Leo, Moussa Balla Conte ametambulishwa rasmi kuwa mchezaji mpya wa Klabu ya Yanga SC, akitokea CS Sfaxien ya Tunisia, baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu. Hii ni baada ya sintofahamu kubwa kuhusu usajili wake, huku habari zikimhusisha na Simba SC. Lakini, Yanga SC imefanikiwa kumchukua Conte, na sasa huduma zake ni mali ya Wananchi kuelekea msimu mpya. Kwa usajili huu, unawapa Wananchi asilimia ngapi ya mafanikio ya usajili? 👉 Je, Conte ni mchezaji ambaye ataongeza nguvu kwenye safu ya kiungo wa Yanga SC? #YangaSC #MoussaBallaConte #Wananchi #Usajili #Soka #Tanzania #Mchezo